Makapuku Forum

Makapuku Forum

View attachment 423886
a8ccfeea2bb3f115126d0cfa1ee62273.jpg
View attachment 423887
kumbe n mwanaume [emoji15] [emoji15]
 
2015 - Uchaguzi Mkuu unafanyika nchini Tanzania na kumuweka madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Katika Uchaguzi huo wa aina yake, Edward Lowassa wa Chadema na Ukawa mgombea aliyekuwa na anaungwa mkono na walio wengi alishindwa katika Uchaguzi huo ambao ulitawaliwa na matokeo tete yaliyokuwa yanatangazwa na Tume ya Uchaguzi ( Nec ).
IMG_20161025_090456.jpeg
IMG_20161025_090447.jpeg
IMG_20161025_090435.jpeg

Sikuchafua kidole changu maana Afrika hakuna democracy
Sitapiga kura maisha yangu yote...tangu primary sijawahi kumchagua hata monitor
........
 
2015 - Uchaguzi Mkuu unafanyika nchini Tanzania na kumuweka madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Katika Uchaguzi huo wa aina yake, Edward Lowassa wa Chadema na Ukawa mgombea aliyekuwa na anaungwa mkono na walio wengi alishindwa katika Uchaguzi huo ambao ulitawaliwa na matokeo tete yaliyokuwa yanatangazwa na Tume ya Uchaguzi ( Nec ).
Pambaaaafu.....ila kwa yanayoendelea sasa nafsi wala haijutii maana nilimkata
 
Back
Top Bottom