Makapuku Forum

Makapuku Forum

1987 - Darron Gibson anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa Man Utd ambaye kwasasa anakipiga Everton na tinu ya taifa ya Ireland.
Screenshot_2016-10-25-08-42-54.png
Screenshot_2016-10-25-08-42-28.png
Screenshot_2016-10-25-08-42-42.png
 
2015 - Uchaguzi Mkuu unafanyika nchini Tanzania na kumuweka madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Katika Uchaguzi huo wa aina yake, Edward Lowassa wa Chadema na Ukawa mgombea aliyekuwa na anaungwa mkono na walio wengi alishindwa katika Uchaguzi huo ambao ulitawaliwa na matokeo tete yaliyokuwa yanatangazwa na Tume ya Uchaguzi ( Nec ).
 
LA LIGA AWARD WINNETS
Mocha bora=Someone(Atletico)
Kipa bora=Jan Oblak(Atletico)
Mchezaji bora=Griezman(Atletico)
Beki bora= God in(Atletico)
Mshbuliaji bora= Messi(Barca)
Mchezaji bora LA liga wa dunia=Suarez(Barca)
Kiungo bora=Modric(Real)
Chipukizi bora=Asemsio(Real)
.......
No place for Ronaldo.
 
2015 - Uchaguzi Mkuu unafanyika nchini Tanzania na kumuweka madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Katika Uchaguzi huo wa aina yake, Edward Lowassa wa Chadema na Ukawa mgombea aliyekuwa na anaungwa mkono na walio wengi alishindwa katika Uchaguzi huo ambao ulitawaliwa na matokeo tete yaliyokuwa yanatangazwa na Tume ya Uchaguzi ( Nec ).
Aka Rubuva timu
 
2015 - Uchaguzi Mkuu unafanyika nchini Tanzania na kumuweka madarakani Rais John Pombe Magufuli.

Katika Uchaguzi huo wa aina yake, Edward Lowassa wa Chadema na Ukawa mgombea aliyekuwa na anaungwa mkono na walio wengi alishindwa katika Uchaguzi huo ambao ulitawaliwa na matokeo tete yaliyokuwa yanatangazwa na Tume ya Uchaguzi ( Nec ).
Duh.. Kwa hyo siku 365 zishapita toka watu wapige kura[emoji15] [emoji15] .. Siku haziend bali zinaimbia duh
 
Back
Top Bottom