Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
1984 - Katy Perry anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Leo katika Historia:
1969 - Oleg Salenko anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Russia.
1981 - Shaun Wright Phillips anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Chelsea, Man City na timu ya taifa ya Uingereza.
Phillips aliambiwa achezee arsenal akalinga1981 - Shaun Wright Phillips anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Chelsea, Man City na timu ya taifa ya Uingereza.
1984 - Katy Perry anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
RIP Abebe1973 - Abebe Bikila anafariki Dunia.
Alikuwa ni mwanariadha toka nchini Ethiopia.
Swalama, waambaajee!!?Habar ya asubuh makapuku
[emoji122] [emoji122] [emoji122] ...
Naona watoto wa vicente Calderon tumezizoa tuzo za kutosha...LA LIGA AWARD WINNETS
Mocha bora=Someone(Atletico)
Kipa bora=Jan Oblak(Atletico)
Mchezaji bora=Griezman(Atletico)
Beki bora= God in(Atletico)
Mshbuliaji bora= Messi(Barca)
Mchezaji bora LA liga wa dunia=Suarez(Barca)
Kiungo bora=Modric(Real)
Chipukizi bora=Asemsio(Real)
.......
For sure..Kwema
Bora uzima ......mengine yanatafutwa tu
.....
He deserve mbele ya rashid fuad koani![]()
Renato Sanchez
European Golden Boy winner 2016
(mwanasoka bora chipukizi)
Kamshinda Rashford
..........
Moja kati ya wachezaji wafupi...1981 - Shaun Wright Phillips anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Chelsea, Man City na timu ya taifa ya Uingereza.
Sweetiepie ukuje huku mamii..1985 - Ciara anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Nadhan wenger ndio alizingua..Phillips aliambiwa achezee arsenal akalinga