makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,442
- 108,486
Bado kwangu he is the best..Wazza siku zake zimekwisha, majira yajayo ya kiangazi bila shaka atakuwa anaelekea China kama si Marekani.
Shenz hawaKaipita kwa kuwa alikuwa bado kijana na timu inamuhitaji, Sasa upande wa pili sasa ndio majanga
Game ya siku hiz ni pesa tu mapenz yameishia kwa kina gerrard na totti.. Labda wilshere kidogo.. Mtu anawafanyia kazi na mpunga unazamaKingine kinachomfelisha Rooney, ni kuwa wahafidhina wa Man Utd hasa wakiongozwa na Sir Alex wanamuona sio mwenzao. Yaani yupo pale kimaslahi lakini sio kimapenzi kama akina Rio, Scholes, Giggs nk
Dah!! Imenichanganya saana hii juzi, kweli rooney wa kunyimwa penati mbilKlabuni atafanyiwa kila aina ya hila asifikie rekodi hiyo japo amebakiza magoli machache lakini nafasi yake ndani ya timu ni ndogo, siku hizi hata penati anapiga hadi Martial na Wazza yupo ndani.
Mata yupo vizuri, Sema yeye na josee hazipandi kabisaBado kwangu he is the best..
Mie arsenal damu ila rooney na carrick kwenye ubora wao huwa nafurah kuwatzama atleast siku hiz mata
Km list ya LikesAahh.. Basi huo ni uhun n nt fair kabsa kwa Rooney aliyejitoa man u kwa jasho na damu yake.. Bobby charlton atabak kuwa bobby charlton heshima yake itabak pale pale, hata rooney avunje rekod vipi.. Sababu rekod si mashindano ila ni kumbukumbu za mchango wa mtu kwa timu.. So mazur yake hayawez kufutika..
Mbona una mambo ya kikeUnataka au unatoka mkuu[emoji15] [emoji15]
Rooney atabaki kuwa RooneyYah ni kweli. Matokeo yake akaenda kupiga Kaseja, what a joke?
Hata Gary Lineker alipojaribu kuvunja rekodi ya Sir Bobby kwenye national team akafanyiwa hujuma. Mechi yake ya mwisho akiwa amebakiza goli moja akakataliwa kupiga tuta halafu akatolewa.
Hakuwahi kuitwa tena national team na hapo ndipo akastaafu mwenyewe.
Ila Rooney amejitahidi ameipita National team ila klabuni sidhani...
Virus (poliovirus)Hivi polio husababisha na nini!?
OkwiuiiiiiiNdio hivyo, ni kama yule mchezaji wa simba yule mganda, siku ya mechi ya yanga na Simba alizuiwa asifunge gori la Tatu, ili asivunje record ya kibadeni
Uko sahihi kabisaOkwiuiiiiii
Alikatazwa kupiga penalti?
Akapiga Kaseja
Au nimekosea
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Nashangaa vitu vya zamani vinatukuzwa sana maishani hata km enzi zao chanfamoto nilikuwa chacheUko sahihi kabisa
Mourinho Mungu anamuonaAsante lakini sio kwa kipigo kile.
G G M U2004 - Klabu ya Arsenal yafungwa na Man Utd na kusitishiwa rekodi yake ya kutofungwa kwenye ligi kuu ya Uingereza.
kabla ya hapo ilicheza mechi 49 bila kufungwa na kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Pamoja sana ankaliAsante kwa magazeti ya leo Ankali JJ
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Kwa udhamin murua kabsa wa haina ushetan tunakulaga... Shetan kakutana na muinjilist ze buluuz...
Bitoz nakupungia, nawe punga..
Wapi kaka jambaz.. Musolin le dictator
Jimena wangu polee eeh.. Shemej huwa hachekwi.. Domo litakuwa na adab kidogo kwako..
View attachment 423312