shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Boko la Terry likasaidia man kubeba ndoo1981 - Nemanja Vidic anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Man Utd, Inter Milan na timu ya taifa ya Serbia.
Alisifika kwa kucheza kwa jihadi bila woga.
Anakumbukwa Man Utd kama kepteni na kwa kutengeneza kombinesheni matata na Rio Ferdinand.
Alitwaa mataji matano ya Epl, na moja la Ligi ya mabingwa mwaka 2008 pale Moscow.