Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
1956 - Dedani Kimathi anakamatwa na serikali ya kikoloni huko Kenya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unazitunza eeh. Katika zile couples ambazo umeziona humu iliyodumu mpaka sasa ni mimi na lizziebettie ingawa humu humuoni sana.[emoji41] Bitoz sasa hivi amepata jiko, kasoro mimi tu.
Najifariji kwa kujiita hip hop(gangster) ili nifiche mapungufu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kavamia wapi?We jambazi
Huyo popote kambiKavamia wapi?
Nchi iliyokosa uthabiti kabisa1969 - Mapinduzi ya kijeshi yanatokea huko Somalia na kumuweka Siad Barre kama kiongozi wa Nchi hiyo.
Pole sana nakutakia uponyajiBitoz leo kaamka vibaya yupo Mabibo Beach Dispensary
Hatoweza kumwekea Dikteta picha
...........
Halafu kitambulisho cha Bima nilikikitafuta hadi uvunguni sijakipata...huwa nakitegemeaPole sana nakutakia uponyaji
Leo katika Historia:
1945 - Wanawake nchini Ufaransa waruhusiwa kupiga kura kwa mara ya kwanza.
Hakuna namna sasaHalafu kitambulisho cha Bima nilikikitafuta hadi uvunguni sijakipata...huwa nakitegemea
Leo mifuko itatoboka
........
1956 - Dedani Kimathi anakamatwa na serikali ya kikoloni huko Kenya.