Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Bado inakusumbuaInaudhiii
Bado inakusumbuaInaudhiii
Ndio hapa natumia browserBado inakusumbua
uwe unajaribu itakubaliNdio hapa natumia browser
Nipo saluni namnyoa mvi Diego CostaBitoz yupo kweli
BW jimena nae yupo au
Nawasalimia wote wana makapuku wenzangu wote humu
Mi nipo sana tu
Shukrani mkuu...Sina la ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa KF
Waaoh!!! Karibu mwanampotevu Semegi JJ.Nimewamiss sana jamani,
Bado sijaweza kutumia application yani inazunguka tu ila haifunguki.
Na kwa siku zilizopita nilikuwa naambiwa ya kuwa nimekosea password sasa sijui shida ni nini??
Yuko wapi Nyaucho?.....Tanzania bhanaNUKUU NO 2#
Sokoine alipata nguvu kwa Mwalimu Julius Nyerere, kwa sababu Mwalimu alikuwa haingiriki kwa rushwa.
Hakuna ambaye angethubu kumuhonga kambarage Nyerere, na Sokoine alikuwa na sifa hiyo hakuna ambaye angeweza kufikiria kwamba ampelekee Sokoine rushwa.
Maneno haya yamepata kutamkwa na mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Sina la ziada tukutane tena kesho, kwa udhamini mnono wa KF
Karibuni wana wapotevuMaisha ni kama kioo tu
Ukiyanunia yatakununia
Ukiyachekea yatakuchekea tu
Ukiyakasirikia yatakukasirikia tu
Mko poa humu ndani
Habar zenu ndugu zangu
Nzur mzma wewe
Afwaandeh!!![emoji61][emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona unaanza kunikosea heshima
nimeenda kumuangalia Fesibuku,atakuwa alifuta picha yake......
Wapi Harry Kane?
Wapi Harry Kane?
Nambie mutu ya kongoAfwaandeh!!![emoji61]
Kausha Kiingereza kilikuja na meli
Maana lilishakuwa sooView attachment 420443
nimeenda kumuangalia Fesibuku,atakuwa alifuta picha yake
halafu ni wa RwandaMaana lilishakuwa soo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.....