Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20161018_205046.jpeg

Spurs V Leverkusen
........
 
NUKUU NO 2#

Sokoine alipata nguvu kwa Mwalimu Julius Nyerere, kwa sababu Mwalimu alikuwa haingiriki kwa rushwa.

Hakuna ambaye angethubu kumuhonga kambarage Nyerere, na Sokoine alikuwa na sifa hiyo hakuna ambaye angeweza kufikiria kwamba ampelekee Sokoine rushwa.

Maneno haya yamepata kutamkwa na mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando.
Yuko wapi Nyaucho?.....Tanzania bhana
 
Back
Top Bottom