Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndoto za kuwa na Africa isiyo na ukabila haimaanishi kutokuwa na tofauti za kikabila katika Bara la Africa wala kifo cha kawaida cha kabila za asili za Africa
Tofauti za utamaduni na lugha ni utajiri iliorithi kutoka kwa wahenga wake. Changamoto imekuwa ni jinsi ya kutunza utajiri huo bila kuchochea migogoro ya kikabila na kutetelesha utaifa


Maneno haya ni kutoka kwa Profesa mashuhuri Alli Mazrui katika kitabu kinachoitwa Julius Nyerere Africa's Titan on a global stage,
Kilichoandikwa na Profesa Mazrui pamoja na Lindah L Mhando, chini ya mada "post -Tribal Nyerere to post -Racial Obama. Comparative vision in political Leadership
 
Watu wengi hawajui kwa undani sana mtiririko wa Elimu yetu tangu zamani ulivyokuwa, Kwanza ilikuwa ni ngumu sana kufauru, unarudia shule au kununua jina la mtu akiyefauru na hana uwezo wa kulipa Ada, unachukua jina na unapiga shule bila matatizo kabisa
Kuchukua la aliyefaulu ni tatizo inadhihira kichwani hazipandi
Jamaa kachukua la mru kisha napiga pepa kafaulu inaonesha kichwani yupo vizuri na kapambana ndio maana nimemtetea
.....
 
Ndoto za kuwa na Africa isiyo na ukabila haimaanishi kutokuwa na tofauti za kikabila katika Bara la Africa wala kifo cha kawaida cha kabila za asili za Africa
Tofauti za utamaduni na lugha ni utajiri iliorithi kutoka kwa wahenga wake. Changamoto imekuwa ni jinsi ya kutunza utajiri huo bila kuchochea migogoro ya kikabila na kutetelesha utaifa


Maneno haya ni kutoka kwa Profesa mashuhuri Alli Mazrui katika kitabu kinachoitwa Julius Nyerere Africa's Titan on a global stage,
Kilichoandikwa na Profesa Mazrui pamoja na Lindah L Mhando, chini ya mada "post -Tribal Nyerere to post -Racial Obama. Comparative vision in political Leadership
1515dcad7b9c7aedc507b83ee2502787.jpg
Screenshot_2016-10-18-17-47-55.png
 
NUKUU NO 2#

Sokoine alipata nguvu kwa Mwalimu Julius Nyerere, kwa sababu Mwalimu alikuwa haingiriki kwa rushwa.

Hakuna ambaye angethubu kumuhonga kambarage Nyerere, na Sokoine alikuwa na sifa hiyo hakuna ambaye angeweza kufikiria kwamba ampelekee Sokoine rushwa.

Maneno haya yamepata kutamkwa na mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando.
 
NUKUU NO 2#

Sokoine alipata nguvu kwa Mwalimu Julius Nyerere, kwa sababu Mwalimu alikuwa haingiriki kwa rushwa.

Hakuna ambaye angethubu kumuhonga kambarage Nyerere, na Sokoine alikuwa na sifa hiyo hakuna ambaye angeweza kufikiria kwamba ampelekee Sokoine rushwa.

Maneno haya yamepata kutamkwa na mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando.
Screenshot_2016-10-18-17-57-14.png
Screenshot_2016-10-18-17-57-43.png
 
NUKUU NO 3#


Nikitofautisha haki -Jamii (social justice) na haki sheria ( legal justice)
Haki-sheria maana yake ni kila mtu ana haki sawa mbele ya sheria. Huu ni msingi wa mfumo wa kibwanyenye. Sheria haijari wewe ni nani -masikini au tajiri -wote mna haki sawa.

Kwa mfano, haki ya kuishi. Lakini katika hali halisi usawa huo ni wa kinadhalia tu, kwa sababu masikini na tajiri, kwa vyovyote vile sio sawa
Haki -sheria haiangalii hali halisi, haijali tofauti za kijamii na za kiuchumi Kati ya mtu na mtu. Kwa sababu kinacholinganishwa katika dhana hii sio ubinadamu bali ni haki

Maneno haya niya Profesa maarufu Issa Shivji kutoka katika mada alioiwakilisha kwenye kongamano la kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere, kongamano lililoandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF)
 
NUKUU NO 3#


Nikitofautisha haki -Jamii (social justice) na haki sheria ( legal justice)
Haki-sheria maana yake ni kila mtu ana haki sawa mbele ya sheria. Huu ni msingi wa mfumo wa kibwanyenye. Sheria haijari wewe ni nani -masikini au tajiri -wote mna haki sawa.

Kwa mfano, haki ya kuishi. Lakini katika hali halisi usawa huo ni wa kinadhalia tu, kwa sababu masikini na tajiri, kwa vyovyote vile sio sawa
Haki -sheria haiangalii hali halisi, haijali tofauti za kijamii na za kiuchumi Kati ya mtu na mtu. Kwa sababu kinacholinganishwa katika dhana hii sio ubinadamu bali ni haki

Maneno haya niya Profesa maarufu Issa Shivji kutoka katika mada alioiwakilisha kwenye kongamano la kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere, kongamano lililoandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF)
Screenshot_2016-10-18-18-05-09.png
IMG_20161018_180554.jpeg
 
NUKUU NO 4

Waswahili wanasema ukiona vyaelea ujue vimeundwa.
Sio tu utulivu umekuja wenyewe.
Sio kwamba azimio la Arusha limeondoa umaskini hata kidogo. Umasikini si huu bado tunaendelea nao? Si huu mpaka leo? Uchumi si huu huu bado tunasumbuka nao? Si kwamba azimio limeondoa Umasikini hata kidogo, wala halikutoa ahadi hiyo. Azimio la Arusha limetoa ahadi ya matumaini. Ya haki, ahadi ya matumaini kwa wengi. Madhali matumaini hayo yapo mtaendelea kuwa na amani. Hapa tuna umaskini Tanzania, lakini hakuna 'social cancer ",

Maneno haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere, katika hotuba yake ya mwaka 1989, baada ya kuibuka uvumi kuzika azimio la Arusha,.
 
Nmewamic ile kindaki ndaki
Mussolin kubwa la maadui
Bitoz nyangema mvaa surual chini ya mkia a.k.a ndumilakuwili
Briz tulioa mlango mmoja
Jimena jimenes shem lake toto la kilatin
Sacajo askari wa kuunga unga
Mkwepa kodi adui wa jpm
The book, dogi kitabu mrithi madhubuti wa sczny
Jonax kikofia
Werrason andunje wa misitu ya kongo
Cwt"p" liwazo la moyo wangu
Quigley pendapenda
Shululu jirani mwema
Bailly beki wa mashetani

Na wengine kibao kibao..
 
ETI

Umeshawahi kuwa single hadi ukaamua kununua viatu vya kike kisha ukaviweka mlangoni ili majirani wakipita wajue una demu ndani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

KUA SINGLE NAO NI UGONJWA EEENH!!!
Jumlisha hizo single zako utapata albam [emoji23] [emoji23]
 
Hi Guys I think dis Saturday wil b the last day tutaonana kwa wale ambao tutaweza Kuonana. Coz nimepata Scholarship and I will be travelling to London on monday.I wil be going for three years il miss u sana pray for me .may God be with you all.Please Foward this msg to all who know me. Coz pia mimi nimefoward hata sijui nani anaenda huko London,..

May GOD bless u all
 
Back
Top Bottom