Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,516
- 40,625
Ningekuwa kocha siendi Chelsea wallah1977 - Andre Villas-Boas " AVB" anazaliwa.
Ni kocha kireno wa zamani wa Porto, Chelsea, Tottenham na sasa yupo Zenit St. Petersburgh
Conte mwenyewe pressure inapanda na kushukaNingekuwa kocha siendi Chelsea wallah
Hela ndio inawapeleka pale?Conte mwenyewe pressure inapanda na kushuka
Pamoja na pesa, ni kama jamaa anawadhalilisha sanaHela ndio inawapeleka pale?
Eti bhanaeeh!!! Jamaa anawanunua Kama bidhaa na kuwatumia na kuwatupa!!!Pamoja na pesa, ni kama jamaa anawadhalilisha sana
Grant na AncelotEti bhanaeeh!!! Jamaa anawanunua Kama bidhaa na kuwatumia na kuwatupa!!!
Tangu amtupie virago Avram Grant simwamini kabisa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ushawahi kukosana na jamaa lenye nguvu, linataka kukupiga, tena lina hasira hadi lina tetemeka, na wewe pia kwasababu ni mwanaume na hutaki kuonekana boya, inakubidi unajijaza pia, lakini moyoni unasema,
"MUNGU simama na mimi mtumishi wako,BWANA wa majeshi wacha ukaonekana mahali hapa fanya hawa watu waliotuzunguka watushike tusipigane mfalme wa wafalme mungu wa Eliya"
?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anachotaka n Vkombe tuEti bhanaeeh!!! Jamaa anawanunua Kama bidhaa na kuwatumia na kuwatupa!!!
Tangu amtupie virago Avram Grant simwamini kabisa!!!
Merci bocoup josee kabilaThanks khAghAmE
Anashindana peke yake?Anachotaka n Vkombe tu
Yule Mrussia Hana akili hiyoAnashindana peke yake?
WaongoYule Mrussia Hana akili hiyo
Anashindana peke yake?
Piga benchi Luke ShawLuke shaw & mhktaryan wako fit kwa mchezo wa leoView attachment 419651