Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ushawahi kukosana na jamaa lenye nguvu, linataka kukupiga, tena lina hasira hadi lina tetemeka, na wewe pia kwasababu ni mwanaume na hutaki kuonekana boya, inakubidi unajijaza pia, lakini moyoni unasema,

"MUNGU simama na mimi mtumishi wako,BWANA wa majeshi wacha ukaonekana mahali hapa fanya hawa watu waliotuzunguka watushike tusipigane mfalme wa wafalme mungu wa Eliya"
?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushawahi kukosana na jamaa lenye nguvu, linataka kukupiga, tena lina hasira hadi lina tetemeka, na wewe pia kwasababu ni mwanaume na hutaki kuonekana boya, inakubidi unajijaza pia, lakini moyoni unasema,

"MUNGU simama na mimi mtumishi wako,BWANA wa majeshi wacha ukaonekana mahali hapa fanya hawa watu waliotuzunguka watushike tusipigane mfalme wa wafalme mungu wa Eliya"
?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
IMG_20161017_161758.jpeg
IMG_20161017_161814.jpeg

Jezi ya Liverpool leo
.......
 
Back
Top Bottom