Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Mc bora kwangu siku zote1972 - Rapa Eminem anazaliwa.
Ni mwanamuziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Mc bora kwangu siku zote1972 - Rapa Eminem anazaliwa.
Ni mwanamuziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
1979 - Mama Teresa anapatiwa Tuzo ya Nobel kwa mchango wake wa amani katika Jamii.
MoningiGoodmorning peoples
Umri umeenda sasa Ziggy1968 - David " ZIGGY " Nesta Marley anazaliwa.
Ni mtoto wa Mwanamuziki wa zamani wa Jamaica, Robert Nesta Marley. ( Bob Marley )
Ulionaje balaa lakeNiliangalia ile move ya Sobibor
AmenLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Eminem, muwe na siku njema na wiki njema kwa ujumla.
1994 - Mwandishi wa habari wa Kirusi, Dmitry Kholodov anauwawa wakati akiwa anafanya uchunguzi wa Ufisadi ndani ya Jeshi la Nchi hiyo.
Ni balaa aiseeUlionaje balaa lake
Mohamed Alli ni shida yule JamaaTanzania tulikuwa nae miaka ya nyuma.
Stan Katabaro aliuwawa alipokuwa anafatilia sakata la Ngorongoro mwaka 1993 nadhani.
Kenya kuna jamaa wa Jicho Pevu ya KTN anaitwa Mohamed Ali nadhani
Huyu Jamaa mambo yake huwa ya utata utata tu1972 - Rapa Eminem anazaliwa.
Ni mwanamuziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Ahsante nawe piaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Eminem, muwe na siku njema na wiki njema kwa ujumla.
1912 - Pope John Paul wa I anazaliwa.
Alijulikana kama Papa anayetabasamu. Alifariki mwaka 1978 ikiwa ni siku 33 tu tangu ateuliwe kuwa Papa. Kifo chake kimebaki tata mpaka leo.
Kina Terry wakamchomesha mahindi1977 - Andre Villas-Boas " AVB" anazaliwa.
Ni kocha kireno wa zamani wa Porto, Chelsea, Tottenham na sasa yupo Zenit St. Petersburgh
Watu waliteseka sana muleUlionaje balaa lake