morning vpGoodmorning peoples
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwalimu wa zamu uko wapi? au TRA washafanya yao!!!
Morning mukongoGoodmorning peoples
Nitamwambia, ila sasa wewe unaogopa kamwambia shemeji yangu, mpaka umtumie jirani [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]View attachment 419383Shululu mwambie shem apunguze makeups[emoji23]
Niliangalia ile move ya Sobibor1943 - Gereza la Sobibor lafungwa rasmi.
Ni moja kati ya Magereza ya siri yaliyoendeshwa na Utawala wa Hitler, gereza hilo lilikuwa lipo nchini Poland ambapo Maelfu ya Wayahudi walipoteza uhai wao kwa mateso.
1933 - Albert Einstein anakimbia nchi ya Ujerumani chini ya Utawala wa mkono wa chuma wa NAZI na kuelekea uhamishoni nchini Marekani.
Hii ni baada ya kuina usalama wake ukiwa mdogo.
Alikuwa ni mtaalam wa Fizikia toka nchini Marekani.
Hahahaha Kungekuwa na tuzo za watu wanaostahimili njaa, basi weusi tungchukua kila mwaka maake thnakipaji ichoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu weusi haooo katika ubora wetu. Utafikiri mashindano ya kuonyeshana six packs. Hovyo sana sisi watu weusi.
Waandishi wa uchunguzi huwa wako hatarini sana1994 - Mwandishi wa habari wa Kirusi, Dmitry Kholodov anauwawa wakati akiwa anafanya uchunguzi wa Ufisadi ndani ya Jeshi la Nchi hiyo.
1943 - Burma Railway yakamilika.
Ni reli iliyounganisha Thailand na Burma.