Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,516
- 40,627
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]Mse.scorpion [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]Mse.scorpion [emoji2] [emoji2]
Kumbe kuna Falcao OG.1953 - Paulo Roberto Falcao anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Roma na Timubya Taifa ya Brazil.
Anachukuliwa kama mmoja ya wanasoka mahiri kuwahi kutokea nchini Brazil.
Alikuwepo katika Brazil iliyoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 1982 pale Spain, akiwa na Socrates, Zico ( Pele mweupe ) na Eder. Kikosi hiko kinatajwa kama Brazil bora iliyoshindwa kubeba Kombe la Dunia.
Radamel Falcao alipewa jina la Falcao na baba yake kwa heshima ya Mbrazil huyu.
[emoji120] dictatorLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Manute Bol, muwe na Jumapili njema.
Wanakula bata labda
Azam anashindaKarata yako iko upande upi hapo?
Ngoja nisubiri matokeo nione Simba na Yanga mnavyochambuanaAzam anashinda
kampa kampa tenaNaitakia ushindi rwambarwamba fc 1 Kwa 0 Dhidi ya Kandambili
Dakika 90* zitasema jinsi kandambili wanavyopoteanakampa kampa tena![]()
Majimaji nao aisee
Majimaji vibonde km jina laoMajimaji nao aisee
kweliMajimaji vibonde km jina lao
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Toto atakunywa maji kiulainikweli![]()
Azam hashindi!!! Azam akishinda navua nguo!!!..........navua nguo naenda kuoga!!![emoji4]Azam anashinda