Makapuku Forum

Makapuku Forum

1934 - Maandamano ya Kikomunisti yaanza huko China na kudumu kwa mwaka mzima kabla ya Mao Zedong kuibuka na kupewa Uenyekiti wa chama hiko.
f975f72fa853d8506080e78b5e622f0d.jpg
IMG_20161016_090553.jpeg
IMG_20161016_090624.jpeg

Peoples power
.......
 
1953 - Paulo Roberto Falcao anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Roma na Timubya Taifa ya Brazil.

Anachukuliwa kama mmoja ya wanasoka mahiri kuwahi kutokea nchini Brazil.

Alikuwepo katika Brazil iliyoshiriki Kombe la Dunia la mwaka 1982 pale Spain, akiwa na Socrates, Zico ( Pele mweupe ) na Eder. Kikosi hiko kinatajwa kama Brazil bora iliyoshindwa kubeba Kombe la Dunia.

Radamel Falcao alipewa jina la Falcao na baba yake kwa heshima ya Mbrazil huyu.
 
Back
Top Bottom