Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sikilizeni
...............
Km mtu hawezi UTANI aende jukwaa la siasa(Polifix Forum) ndo kunamfaa

Hapa tunataniana,elimishana,pigishana stori n.k
Kisichoruhusiwa ni ugomvi ,malumbano na matusi
Km mtu utani unamboa asepe aende jukwaa la siasa awaache wanaojua/weza utani
.............
........
....
....
We mzee Ulikuwa wapi?
 
clap.png
thumbsup.png
aende
point_right.png
Binadamu hukosea pia jaman ...
 
Sikilizeni
...............
Km mtu hawezi UTANI aende jukwaa la siasa(Polifix Forum) ndo kunamfaa

Hapa tunataniana,elimishana,pigishana stori n.k
Kisichoruhusiwa ni ugomvi ,malumbano na matusi
Km mtu utani unamboa asepe aende jukwaa la siasa awaache wanaojua/weza utani

Utani wetu unaishiia hapahapa
Tukikuana kwingine tunapingana kwa hoja hakuna ushikaji
.............
........
....
....
Roger that nyangema
 
Roger that nyangema
Maana hakuna anayelazimishwa au kufungwa na kifungu chochote kwamba lazima awepo kwenye hii thread km inamboa aende jukwaa la siasa akamjadili Profesa Lipumba,posho za mwenge na ndege za pangaboi
Asituharibie mood
Hatupendi kusikia ulalamishi na malumbano
..................
 
Maana hakuna anayelazimishwa au kufungwa na kifungu chochote kwamba lazima awepo kwenye hii thread km inamboa aende jukwaa la siasa akamjadili Profesa Lipumba,posho za mwenge na ndege za pangaboi
Asituharibie mood
Hatupendi kusikia ulalamishi
..................
Umenena kwa hisia blaza nyangema naona hautaki sport sport [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom