Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyakati zimekwenda wapi? Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Eti tulikuwa na Welbeck kama Straika.
Welbeck mcheza disko hata ArsayNO wamechukua garasa halafu wakatuona wajinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Van Nistelrooy na Rooney walikuwa moto zen akaja Chicharito akatisha kidogo lakini Van Ugali hakumthamini sasa hivi anatesa Bundesliga
.......
 
IMG_20161015_103618.jpeg
IMG_20161015_103558.jpeg
 
Back
Top Bottom