Makapuku Forum

Makapuku Forum

1977 - David Trezeguet anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Anakumbukwa kwa kupiga penati ya ushindi iliyowapa Ufaransa taji la Euro 2000 dhidi ya Italy.

Miaka sita baadae katika fainali ya Kombe la Dunia, anakumbukwa kwa kukosa penati muhimu iliyiwapa Italy ubingwa huo wa Dunia.
Screenshot_2016-10-15-09-33-27.png
IMG_20161015_093504.jpeg
IMG_20161015_093450.jpeg
3514f158ef602ea55433b9914394db62.jpg

Babyface
........
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
Pumzika kwa amani Deo
 
1979 - Paul Robinson anazaliwa.

Ni golikipa wa zamani wa England.

Anakumbukwa zaidi wakati wake akiwa na Vilabu vya Leeds United, Tottenham na Blackburn Rovers.

Waingereza hawawezi kumsahau, mara baada ya kurudishiwa mpira na Gary Neville badala ya kupiga mpira uende mbele yeye akaukosa na mpira kujaa wavuni. Hii ilikuwa ni moja ya sababu ya England kushindwa kufuzu fainali za Euro 2008.
Screenshot_2016-10-15-09-40-15.png
IMG_20161015_094137.jpeg
IMG_20161015_094147.jpeg
Screenshot_2016-10-15-09-41-01.png

We call it blunder
.........
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
Apumzike kwa amani Deo
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
Screenshot_2016-10-15-10-05-57.png
IMG_20161015_100834.jpeg
IMG_20161015_100850.jpeg
IMG_20161015_100822.jpeg
IMG_20161015_100812.jpeg

Alikuwa mtu wa watu
RIP
......
 
Back
Top Bottom