Makapuku Forum

Makapuku Forum

1966 - Black Panther Party yaanzishwa na Huey P. Newton na Bobby Seale.

Ni chama kilichojishughulisha na Harakati za kupigania haki za mtu mweusi.

Wakati kinaanzishwa, Mkurugenzibwa FBI wa wakati huo Edgar Hoover alidai chama hiko ni hatari kwa usalama wa ndani wa Marekani.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] Huey Newton
 
d6865fc00e67b839e0740d4968d3c96c.jpg
View attachment 418302View attachment 418303
Dictatorship
........
So sad
 
1990 - Kiongozi wa Soviet, Mikhail Gorbachev anazawadiwa tuzo ya Nobel kwa mchango wake mkubwa katika kumaliza Vita Baridi iliyokuwepo kwa miaka takribani 30 kati ya Urusi na Marekani.

Gorbachev anachukuliwa kama pandakizi aliyekulia na kusomea Marekani na ambaye baadae CIA ilikuja kumuingiza kwenye siasa za Urusi na kushinda Urais na baadae kuvunja Umoja wa Kisoviet wa Kirusi ( USSR ).
Siasa Siasa
 
1987 - Thomas Sankara anauwawa.

Alikuwa ni Rais wa 5 wa Burkina Faso.

Alijulikana kama Che Guevara wa Afrika kwa mrengo wake wa Kiujamaa, Kimarx na hata uvaaji wake akifananishwa na Mwanamapinduzi huyo wa Kiargentina.

Aliuwawa na rafiki yake wa karibu, Blaise Campaore.
 
1977 - David Trezeguet anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Anakumbukwa kwa kupiga penati ya ushindi iliyowapa Ufaransa taji la Euro 2000 dhidi ya Italy.

Miaka sita baadae katika fainali ya Kombe la Dunia, anakumbukwa kwa kukosa penati muhimu iliyiwapa Italy ubingwa huo wa Dunia.
Pia ndiye mchezaji wa mwisho kufunga goli la dhahabu
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
 
1977 - David Trezeguet anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Anakumbukwa kwa kupiga penati ya ushindi iliyowapa Ufaransa taji la Euro 2000 dhidi ya Italy.

Miaka sita baadae katika fainali ya Kombe la Dunia, anakumbukwa kwa kukosa penati muhimu iliyiwapa Italy ubingwa huo wa Dunia.
Iligonga mwamba, ila David alikuwa anajua kufunga
 
1987 - Thomas Sankara anauwawa.

Alikuwa ni Rais wa 5 wa Burkina Faso.

Alijulikana kama Che Guevara wa Afrika kwa mrengo wake wa Kiujamaa, Kimarx na hata uvaaji wake akifananishwa na Mwanamapinduzi huyo wa Kiargentina.

Aliuwawa na rafiki yake wa karibu, Blaise Campaore.
Chema hakidumu, ila Compaole kakimbia nchi
 
1971 - Andy " Andrew " Cole anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Newcastle United, Man Utd na timu ya taifa ya England.

Anakumbukwa zaidi wakati wake akiwa klabuni Man Utd alipotengeneza kombinesheni hatari na Dwight Yorke.
Screenshot_2016-10-15-09-21-38.png
IMG_20161015_092805.jpeg
IMG_20161015_092749.jpeg

Waliogopwa km Ebola
Enzi hizo dozi inaanzia 3 hata wakitangulia kufungwa ushindi ni lazima
.....
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
1st anniversary R.I.P FILIKUNJOMBE
 
Back
Top Bottom