Makapuku Forum

Makapuku Forum

1990 - Kiongozi wa Soviet, Mikhail Gorbachev anazawadiwa tuzo ya Nobel kwa mchango wake mkubwa katika kumaliza Vita Baridi iliyokuwepo kwa miaka takribani 30 kati ya Urusi na Marekani.

Gorbachev anachukuliwa kama pandakizi aliyekulia na kusomea Marekani na ambaye baadae CIA ilikuja kumuingiza kwenye siasa za Urusi na kushinda Urais na baadae kuvunja Umoja wa Kisoviet wa Kirusi ( USSR ).
 
1966 - Black Panther Party yaanzishwa na Huey P. Newton na Bobby Seale.

Ni chama kilichojishughulisha na Harakati za kupigania haki za mtu mweusi.

Wakati kinaanzishwa, Mkurugenzibwa FBI wa wakati huo Edgar Hoover alidai chama hiko ni hatari kwa usalama wa ndani wa Marekani.
IMG_20161015_085534.jpeg
IMG_20161015_085506.jpeg
IMG_20161015_085521.jpeg

BPP
......
 
1990 - Kiongozi wa Soviet, Mikhail Gorbachev anazawadiwa tuzo ya Nobel kwa mchango wake mkubwa katika kumaliza Vita Baridi iliyokuwepo kwa miaka takribani 30 kati ya Urusi na Marekani.

Gorbachev anachukuliwa kama pandakizi aliyekulia na kusomea Marekani na ambaye baadae CIA ilikuja kumuingiza kwenye siasa za Urusi na kushinda Urais na baadae kuvunja Umoja wa Kisoviet wa Kirusi ( USSR ).
Screenshot_2016-10-15-08-59-42.png
Screenshot_2016-10-15-09-00-37.png
IMG_20161015_090114.jpeg
 
1968 - Didier Deschamps anazaliwa.

Kiungo mkabaji wa zamani na nahodha wa Timubya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo kikosini wakati Ufaransa inatwaa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani akiwa kama kepteni.

Pia Ufaransa ilivyobeba kombe la ulaya mwaka 2000.

Aliwahi kugombana na Eric Cantona kwenye timu ya taifa, baada ya Cantona kumuita Deschamps mbeba maji " Water Carrier " kwakuwa alikuwa anacheza namba 6 kazi yake kuu ni kupora mipira na kumpa Cantona achezeshe timu hivyo hakuwa na ufundi.

Kauli hiyi ilimfanya Cantona kutoitwa tena kwenye Timu ya Taifa.
 
1968 - Didier Deschamps anazaliwa.

Kiungo mkabaji wa zamani na nahodha wa Timubya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo kikosini wakati Ufaransa inatwaa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani akiwa kama kepteni.

Pia Ufaransa ilivyobeba kombe la ulaya mwaka 2000.

Aliwahi kugombana na Eric Cantona kwenye timu ya taifa, baada ya Cantona kumuita Deschamps mbeba maji " Water Carrier " kwakuwa alikuwa anacheza namba 6 kazi yake kuu ni kupora mipira na kumpa Cantona achezeshe timu hivyo hakuwa na ufundi.

Kauli hiyi ilimfanya Cantona kutoitwa tena kwenye Timu ya Taifa.
Didier akiwa uwanjani huwa hakati tamaa, anajua kupigana akiwa uwanjani
 
1977 - David Trezeguet anazaliwa.

Ni mshambuliaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Anakumbukwa kwa kupiga penati ya ushindi iliyowapa Ufaransa taji la Euro 2000 dhidi ya Italy.

Miaka sita baadae katika fainali ya Kombe la Dunia, anakumbukwa kwa kukosa penati muhimu iliyiwapa Italy ubingwa huo wa Dunia.
 
1979 - Paul Robinson anazaliwa.

Ni golikipa wa zamani wa England.

Anakumbukwa zaidi wakati wake akiwa na Vilabu vya Leeds United, Tottenham na Blackburn Rovers.

Waingereza hawawezi kumsahau, mara baada ya kurudishiwa mpira na Gary Neville badala ya kupiga mpira uende mbele yeye akaukosa na mpira kujaa wavuni. Hii ilikuwa ni moja ya sababu ya England kushindwa kufuzu fainali za Euro 2008.
 
1968 - Didier Deschamps anazaliwa.

Kiungo mkabaji wa zamani na nahodha wa Timubya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo kikosini wakati Ufaransa inatwaa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani akiwa kama kepteni.

Pia Ufaransa ilivyobeba kombe la ulaya mwaka 2000.

Aliwahi kugombana na Eric Cantona kwenye timu ya taifa, baada ya Cantona kumuita Deschamps mbeba maji " Water Carrier " kwakuwa alikuwa anacheza namba 6 kazi yake kuu ni kupora mipira na kumpa Cantona achezeshe timu hivyo hakuwa na ufundi.

Kauli hiyi ilimfanya Cantona kutoitwa tena kwenye Timu ya Taifa.
Screenshot_2016-10-15-09-10-48.png
IMG_20161015_091416.jpeg
IMG_20161015_091357.jpeg

Kile kikosi noma
.....
 
Leo katika Historia:

1940 - Lluis Companys ananyongwa.

Alikuwa ni Rais wa jimbo la Catalonia ( Katalunya ), Jimbo ambalo linapigana ili kujitenga na Spain.

Alinyongwa kwa amri ya Dikteta wa Hispania, Jenerali Fransisco Franco wkati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Dah
 
Back
Top Bottom