Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Hujafafanulia zile picha za Erwin Rommel nilizoziletaNjema mkuu, za kupotea...
.....
Hujafafanulia zile picha za Erwin Rommel nilizoziletaNjema mkuu, za kupotea...
Alikimbia kipindi cha sarufiMatahila= Mataahira
Kuna watu walikimbia shule
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.........
Kafanyaje?Uunamfahamu @jambilo??
MP[emoji61] thawa abande
Amepona![]()
Tambwe fiti kuivaa Azam
......
HaaaahaaaaView attachment 418157
Kesho tena atakuta ivoivo
Taifa la vichaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Majira yetu haya yangekuwaje sasa
Hii ni Eritrea
Unadegedege wewe sio bureAtakuwa ni jambilo
Lala ukue /nawe pia
Lala ukue /nawe pia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kuhusu alivyouwawa ama?Hujafafanulia zile picha za Erwin Rommel nilizozileta
.....
Utata wa pichaKuhusu alivyouwawa ama?
Nimefatilia baadhi ya vyanzo mbalimbali vya habari, nimeconclude kifo cha Rommel kina utata sana, hakuna jibu sahihi jinsi alivyofariki.Utata wa picha
Moja ana jeraha na kipara
Nyingine akiwa kwenye jeneza ana nyqwle na kakovu
Zote akiwa kafa
......
.
Leo katika Historia:
1940 - Lluis Companys ananyongwa.
Alikuwa ni Rais wa jimbo la Catalonia ( Katalunya ), Jimbo ambalo linapigana ili kujitenga na Spain.
Alinyongwa kwa amri ya Dikteta wa Hispania, Jenerali Fransisco Franco wkati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.