Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Mbwembwe ziligonga mwamba.View attachment 416528View attachment 416529View attachment 416531Ndo tofauti kati ya mbwembwe na ujuzi
.......
Mbwembwe ziligonga mwamba.View attachment 416528View attachment 416529View attachment 416531Ndo tofauti kati ya mbwembwe na ujuzi
.......
He! Kumbe ni mkei!!! Me nilidhani ni Mzanzibar2014 - Ali Mazrui anafariki Dunia.
Ni mwanazuoni mahiri toka nchini Kenya.
2015 - Abdallah Kigoda anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mbunge wa Handeni na Waziri wa nane wa Viwanda na Biashara.
Ilitokea kwa bahati mbaya.Duh!! Ilikuaje hii ama ilipangwa??
Alipona ila watu wake aliokuwa nao baadhi walifariki.Ilikuaje akapona ,hakufika hotelini au ilikuaje?
Merci PapaaLeo katika Historia:
Sina la ziada, tukutane kesho.
Wataalam wa vita vya Jangwani, kwani hutumia sana ndege zao.Wamarekani vita vya ardhini na msituni ni wachovu
Bila kuwasahau MI6Scotland yard walifanya kazi yao ipasavyo
Chumvi mkuuUkiwa daktari wake na wewe ni Me unateguliwa muhogo!!![emoji134]
Mungu hakupenda kumchukua mapemaAlipona ila watu wake aliokuwa nao baadhi walifariki.
Leo ni siku ya watoto nchini Brazil.
Ndio na ni muislam swafi...Pervez ni jina la kiislam?
Leta vituuuu
Hujawahi kusikia hiyo?Du, ni wabongo wanazusha au huko Duniani
Aliitwa hivyo kwakuwa umafia wake ulifananishwa na Mbweha.
Sana mkuuKumbe nguvu za kiume zimeanza kuongezwa kitambo sana