Makapuku Forum

Ilipangwa na Elites, sema huyo Oswald ni noma kwa shabaha!!!
 
Kuna thread kamnyamazisha Mlozi hadi huruma akabaki kupost emoji tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
......
.......
Hahahaha yule si wa kubishana nae kama huijui vizuri mada husika na hauna hata uthibitisho, kuna siku alimyamazisha memba mmoja kuhusu kitu ambacho mi nakijua sana afu akaenda mulumule kama nijuavyo... Ndo nikajua jamaa huwa anajipanga sana atakua anachimba kwanza ndo anabishana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…