Makapuku Forum

hahaha...kwahiyo ulikula kwa macho?
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ulimshindwaje huyo? Hao wenye mbwembwe hao ni maji maramoja
 
Huyu Rais aliniuma sana Historia yao...[emoji17][emoji17]
 
Watugawanyishie basi hizo pesa
 
View attachment 416362
Km sijakosea ni huyu niliona km wanafanana nikataka kuchanganya picha
........
Hakika ni yeye.

Pia kwa heshima yake klabuni Man Utd wamejenga mnara nje ya uwanja wa Old Trafford.

Mnara huo unajulikana kama " The United Trinity " ukiwahusisha wachezaji watatu mashuhuri ambao ni Bobby Charlton, Denis Law na Chapombe George Best.
 
Mi nilikuwa pesa zao
Wanapenda mabishoo...tunaazima tu hadi sandals ili tukang'oe matoto makali
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Mimi mkuu sikua nimepinda kivile ila naamini huu ukuni huku chini uliniweka kwenye game.
Hawa naona walikua wanaambiana mimi mwishi wa siku sio nilikula nyapu tuu bali hadi tiGO nitafuta ya geti kali wa Mh...

Na poketi money aliyokua anapewa nilikua namtunzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…