Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Haha haya bana ngoja ntauliza zaidiMe mwenyewe nimesikia.
Nafurahi kuskia hivyo kapukuNzuri Kapuku
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dah! Nimecheka sana hii
kwiiii kwiiiiiiiiUnadanganya ulimwengu huu wa teknolojia
Kweli we kuchaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
......
Hahahahaha Asante kapukuNafurahi kuskia hivyo kapuku
Maisha bila unafki hayaendi..[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dah! Nimecheka sana hii
Ngoja nimtafute ndalichako na mwigulusio mke ni mtoto wa kike yaaan chini ya 18
Humu kila mtu ni kichaa, ila vinatofautia scale,Shululu
Wapo mbeya kuwahoji walimu wa sekondari mbeya day hahahahahaNgoja nimtafute ndalichako na mwigulu
Mkwepa kodi anamjua kitabu?Akaunti nyingine aitwaje?
Sikiliza:Mke wangu ana miaka 17, si unajua sheria ya ndoa ya Tanzania inaruhusu mpaka miaka 14 hahahahaha
Bitoz picha ya mwanangu umeipata wapi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]View attachment 416120View attachment 416121View attachment 416122
Heshima watoto wavaa sketi
.......
Aka Genda Heka, aka sokwe hahahahahaMkwepa kodi anamjua kitabu?
Nzuri mkuu briz, habari za mbeyaHabari zenu watu wangu wa nguvu! [emoji112][emoji112][emoji112]
Ni kweli, ukitaka kujua ukiwa kwenye bus au daladala watu wanavyoongea na simu, ndio utajua viwango vya ukichaaMkuu hii shu ya ukichaa imekaaje? naskia watz tulio wengi ni vichaa tumetofautiana viwango tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru mkuu kwa kuwaelimisha hawa Makapuku wenzetuSikiliza:
Kila nchi INA sheria zake kwa Tanzania mtoto ni mtu aliye chini ya miaka 18
Kwa nchi nyongi za Ulaya mtoto ni mtu aliye chini ya miaka 15
Kuhusu kuolewa na miaka 14 Sheria ya ndoa (MARRIAGE ACT) Inasema msichana chini ya miaka 18 anaolewa kwa ridhaa ya wazaz tena siyo meanafunzii kwahiyo huwezi kukichukua kinyemela kitoto cha 17 yrs ukakiweka ndani kinyumba
Nimekujibu kisheria
..............
Hapa inabidi tujue kwa nini ilikuwa tarehe 11?Yaani kweli leo ni siku ya vichaa
Wanavuma kila sehemu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........