Makapuku Forum

Lakini ni vyema wajue kuwa kila jini na mbuyu wake..sasa ametambua kuwa nimeudhika nilipomlalamikia, ndio maana kaomba radhi hata iwe kwa unafiki
Potezea bhana
Mi sijamind coz mtu akikutajataja ht kwa ubaya anakupaisha tu huku yy akifikiri anakushusha

Mi nishasemwa vya kutosha...mwanzo iliniwia vigumu lkn sasa nishazoea ht mtu aanzishe uzi wa kunitukana namuignore tu siendi kujibizana nae 7bu najua mimi siyo level yao
...............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…