Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1962 - Kundi la The Beatles laachia kibao chake cha kwanza kijulikanacho kama Love Me Do.
the BITOZ
Love me do
..........
1962 - Kundi la The Beatles laachia kibao chake cha kwanza kijulikanacho kama Love Me Do.
Hiyo kwa Bongo haigusikiBongo pia wameanza kufanya, ila tatizo wagonjwa wenyewe wanapelekwa wakishashindikana huko ambako wenyewe wanadhani ndio bora, hivyo inatumia muda mrefu.
Kwenye Hypnotherapy wanachofanya ni kuamsha zile gland ambazo zina shida na kulazimisha bio electric ifanye kazi ipasavyo mwilini, bio electric ikishamudu kurudi katika ubora wake na ndio hapo utaona mgonjwa anapona
Ni process ila 90% inafanikiwa.
Pia nadhani wengine wanashindwa sababu gharama zake ziko juu
1986 - Uingereza yagundua mpango wa siri wa Israel wa kumiliki silaha hatari za Nyuklia.
Wajapani nao Enzi zao walikuwa hawataki mchezoLeo katika Historia:
1943 - Mateka wa kivita 98 toka Marekani wanyongwa na Jeshi la Japan huko katika kisiwa cha Wake Island.
007 ilibamba sana1962 - Filamu ya Dr. No yazinduliwa.
Ni filamu ya kwanza katika mfululizo wa Filamu za James Bond.
1936 - Vaclav Havel anazaliwa.
Ni Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Czech.
Razaki Yusuf Careca, bongo buana1960 - Careca anazaliwa.
Ni Msambuliaji wa zamani wa Napoli na Timu ya Taifa ya Brazil.
Alipokuwa Napoli alitengeneza kombinesheni ya hatari na Diego Armando Maradona.
1941 - Eduardo Duhalde anazaliwa.
Alikuwa Rais wa 50 wa Argentina.
ahsanteLeo Katika Historia Orijino:
Kwa udhamini mnono wa Members wote wa Makapuku Forum, tukutane kesho.
1947 - Michele Pierre Louis anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 14 wa Haiti.
1960 - Careca anazaliwa.
Ni Msambuliaji wa zamani wa Napoli na Timu ya Taifa ya Brazil.
Alipokuwa Napoli alitengeneza kombinesheni ya hatari na Diego Armando Maradona.