shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ni kweli, lakini kama imesababishwa na sukari kupanda anaweza kupata ahuweni mapemaKawaida STROKE mtu haponi bali huwezi kukituliza tu ni miongoni mwa magonjwa hatari humfanya mtu apooze na kibaya zaidi ikiathiri ubongo unapoteza kumbukumbu na kuwa chizi(akili zinapotea)
NI ugonjwa unaotesa sana duniani na chanzo cha vifo vingi
Kwahiyo kiukweli Song kupata janga baya na huu unaweza kuwa mwisho wake
Tumuombee
.................
