Makapuku Forum

Ni kweli, lakini kama imesababishwa na sukari kupanda anaweza kupata ahuweni mapema
 
Ni kweli, lakini kama imesababishwa na sukari kupanda anaweza kupata ahuweni mapema
Stroke huathiri "mfumo" siyo kiungo hivyo HUPONI
Kupata nafuu ni kawaida tena unaweza kuishi hata zaidi ya miaka 10 lakini siyo kupona tena kinashambulia ubongo ndiyo maana wazee wengi "hamnazo"
Stroke na kisukari ni km mapacha
Chanzo kikubwa cha stroke /kiharusi ni shinikizo la juu la damu japo pia mambo mengine yanachangia
.......
 
Stroke huathiri "mfumo" siyo kiungo hivyo HUPONI
Kupata nafuu ni kawaida tena unaweza kuishi hata zaidi ya miaka 10 lakini siyo kupona tena kinashambulia ubongo ndiyo maana wazee wengi "hamnazo"
Stroke na kisukari ni km mapacha
.......
Kitu pekee kinachoweza kukufanya ukawa sawa hata kama ulipata stroke ni Hypnotherapy
Tatizo bongo haya mambo ni mageni sana
 
Embu nifafanulie hapa;

Nini tofauti ya stroke, ku-paralyse au kiharusi?

Je hivyo vyote vina maana moja au Viko differ?
 
Labda huko majuu
Halafu iwe haijakuathiri sana
HumuBongo ni mwendo wa kaburini tu
..........
Bongo pia wameanza kufanya, ila tatizo wagonjwa wenyewe wanapelekwa wakishashindikana huko ambako wenyewe wanadhani ndio bora, hivyo inatumia muda mrefu.
Kwenye Hypnotherapy wanachofanya ni kuamsha zile gland ambazo zina shida na kulazimisha bio electric ifanye kazi ipasavyo mwilini, bio electric ikishamudu kurudi katika ubora wake na ndio hapo utaona mgonjwa anapona
Ni process ila 90% inafanikiwa.
Pia nadhani wengine wanashindwa sababu gharama zake ziko juu
 
Labda huko majuu
Halafu iwe haijakuathiri sana
HumuBongo ni mwendo wa kaburini tu
..........
Huku bongo ikishakudaka unarudishwa nyumbani ukajiuguze mpk kifo kitakapokuchukua.

Nmeshuhudia sana ndugu zangu wakifa na ugonjwa huu na hamna niliyemshuhudia kaugua huu ugonjwa na akasalimika.

Na kingine pia mgonjwa wa kisukari akishakatwa mguu hachukui muda mrefu lazma afe tu. HILI PIA NMELISHUHUDIA
 
Hapo nimekuelewa
Ugonjwa una hatua zake
Umeongea point ni km saratani mtu yupo hatua ya mwisho ht ufanye nini ana kufa

Lakini km ni hatua ya mwanzo kupona unaweza ila suala la Song inaonekana kaathirika sana kwenye ubongo ndio maana akawa comma
...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…