Haikuwa offside kwani kuna mtu kabisha?
Na Tambwe alishika kabla ya kuweka chini mpira na kutupia
Mbona mambo hayo hutokea ht Ulaya juzijuzi Manchester Derby mwamuzi kakausha penalty mbili na Man Utd kupigwa 2:1 tena old Trafford
Nani aling'oa viti?
.........