Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Ni siku ya Uhuru wa Guinea.

Walipata Uhuru wao toka kwa Ufaransa.
IMG_20161002_095340.jpeg
IMG_20161002_095330.jpeg
 
Haikuwa offside kwani kuna mtu kabisha?
Na Tambwe alishika kabla ya kuweka chini mpira na kutupia

Mbona mambo hayo hutokea ht Ulaya juzijuzi Manchester Derby mwamuzi kakausha penalty mbili na Man Utd kupigwa 2:1 tena old Trafford
Nani aling'oa viti?
.........
Hizi ni jazba ambazo zipo kwa mashabiki wengi duniani.
Japo natambua kuwa mashabiki wa simba sc walifanya kosa na ndo mana wamepigwa faini ya sh Ml. 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom