Ht siku Yanga tunapigwa 5 Mafisango alitupia 3 kulikuwa na penati 3 za magumashi + 2 red cards lakini hatukung'oa vitiKweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,
Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Vipi kuhusu hiiKweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,
Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Weka pichaKweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,
Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
KARMA IMEWASHUGHULIKIA VILIVYOHt siku Yanga tunapigwa 5 Mafisango alitupia 3 kulikuwa na penati 3 za magumashi + 2 red cards lakini hatukung'oa viti
Hatupendagi ujinga sisi
............
Haikuwa offside kwani kuna mtu kabisha?Vipi kuhusu hiiView attachment 410695na hiiView attachment 410696hamuoni kwamba mlikuwa mnabebwaView attachment 410698
Kafunga kwa mguu acheni undezi
Yaleyale ya Waingereza na Wajerumani kuhusu "goal line"Weka picha
Mkono wa Mungu,Kwa hisani ya mkono wa Mungu
Hebu tuyatazame basi magazeti ya Leo jumapili Oct 2 kama yalivyotufikia kwenye meza yetu
View attachment 410642View attachment 410643
Asante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJView attachment 410676View attachment 410677View attachment 410678
Refa ndio mwenye uamuzi wa mwisho au sio??
Kwa hisani ya mkono wa dhahabu nawatakia jumapili njema na yenye utulivu wa hali ya juu
Niite Jimena Jimenes
Ciao
Moningi kapukuMorning all kapuku
Morning mukongoGoodmorning family
Kumbe Magazeti tayari, ngoja nirudi kurasa za nyuma niangalieAsante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJ