Refa ndio mwenye uamuzi wa mwisho au sio??
Kwa hisani ya mkono wa dhahabu nawatakia jumapili njema na yenye utulivu wa hali ya juu
Niite Jimena Jimenes
Ciao
Kweli muosha huoshwa,
Japo dhambi haifutwi kwa dhambi, mwaka 2002 mei 31, Madaraka Seleman anawafunga Yanga bao kama la tambwe leo, na mwamuzi Omary Abdulkadri anasema weka kati,
Rais wa zaman wa Yanga yaani Tarimba Abasi Tarimba, aliamuru timu itoke uwanjani, lkn hawakutoka, simba walishangilia wakati Yanga wanalia,
Leo zamu yao wao wanang'oa viti wakati Yanga walishangilia, najua wengi mtakuwa mmesahau!