Acha unazisimba wanafurahi sare,yanga tumemaind,nani kibonde?????
nimeuliza ilibidi unipe jibu kwamba ni simba au yanga.ujadili swali sio mechi ya uwanjaniAcha unazi
Safe ina impact kubwa kwao 7bu wamecheza pungufu imewaongezea kujiamini mechi zijazo itakuwa ngumu kupoteza
Pia gap limebaki pts 6 ingawaYanga ana mechi moja mkono ni
Kosa kubwa la Yanga ni kuzembea KUUA MECHI mapema
Tusipoangalia msimu huu ibingwa tutakosa
Chambua mpira siyo unazi tu
..................
Inaonekana ww ulisikiliza mpira kwenye radio, hivyo matukio mengi hukiyashuhudia.simba wanafurahi sare,yanga tumemaind,nani kibonde?????
umeulizwa swali toa jibu kwamba ni simba au yanga acha kukurupukaInaonekana ww ulisikiliza mpira kwenye radio, hivyo matukio mengi hukiyashuhudia.
Bora ni yupi hapa;
Bora ni yule aliuecheza pungufu uwanjani akatoa droo?
Au bora ni yule aliyecheza uwanjani wakiwa wametimia na wakatoa droo?
Embu acha ushabiki alafu fikiria kwa umakini.
Simba wako vizuri sana msimu huu hvyo mpe hongera yake
Hapa mwafaka hautafikiwa kabisaumeulizwa swali toa jibu kwamba ni simba au yanga acha kukurupuka
nani alistahili kudroo???ndo swali langu jepesiiii tuHapa mwafaka hautafikiwa kabisa
Jibu: kibonde ni Yangaumeulizwa swali toa jibu kwamba ni simba au yanga acha kukurupuka
sinaJibu: kibonde ni Yanga
Kwa sababu amefungwa mechi moja tokea ligi ianze
Huku sisi tukiwa hatujangwa mechi hata moja tokea ligi ianze.
je una swali lingine?
Nenda forum ya VingongoJibu: kibonde ni Yanga
Kwa sababu amefungwa mechi moja tokea ligi ianze
Huku sisi tukiwa hatujangwa mechi hata moja tokea ligi ianze.
je una swali lingine?
Ule uzi niliuona jana, si mlozi ndo kauleta?Nenda forum ya Vingongo
(Pillow Talk MMU)
Ukajadili chupi
..
Kaiga km kawaUle uzi niliuona jana, si mlozi ndo kauleta?
Mi mwenyewe simuelewiJibu: kibonde ni Yanga
Kwa sababu amefungwa mechi moja tokea ligi ianze
Huku sisi tukiwa hatujangwa mechi hata moja tokea ligi ianze.
je una swali lingine?
Kimalio umemuona?Ule uzi niliuona jana, si mlozi ndo kauleta?
Wanamuogopa kwa sababu ni mchawiKaiga km kawa
Ht CC upo wa Tengutengu
Jamaa noma sana kwa kukopi halafu Mod wanamuogopaga kuunganisha thread zake
.......
Hata mimi ni shabiki wa Real madrid lakini nakiri kwamba Barcelona wako vizuri sana msimu huu.Mi mwenyewe simuelewi
Mimi Yanga damu lakini mpira hauchezwi chumbani
Simba wapo vizuri wamefanya usajili wa maana halafu wanacheza kitimu
Mechi ya leo Yanga ni km tumefungwa
....................
SijamuOna, ila embu tusubiri huenda akaja kwa sababu leo wameshindaKimalio umemuona?
Pia Mustapha siyo kipa mngepeleka mashambulizi mngefunga nyingi....hata mechi v Stand kafungwa kiulainiHata mimi ni shabiki wa Real madrid lakini nakiri kwamba Barcelona wako vizuri sana msimu huu.
Na madrid ana kazi ngumu sana kumshinda huyu jamaa.
Nb: Ukwel humuweka mtu huru
Alikuja, rudi nyuma kidogo utaonaSijamuOna, ila embu tusubiri huenda akaja kwa sababu leo wameshinda