Makapuku Forum

1966 - George Weah anazaliwa.

Mwanasoka wa zamani wa Liberia na klabu za PSG na AC Milan, ambaye mwaka 1995 alishinda tuzo za Mwanasoka bora wa Dunia, Mwanasoka bora Ulaya na Mwanasoka bora wa Afrika kwa pamoja.

Anabaki mwafrika pekee kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia.
 

Hatari sana
Nitaangalia clip yake
.........
 
Wanasema alikuwa anafadhiliwa na matajiri wa Italy waliokuwa wameshikilia soka la Italy
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…