Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna ile, usitumike kama toilet paper, Lissu ni shida sana kwa technic za kimahakama
Mi mwenyewe nahusika na law
Ni vingumu kumshtaki huyo msela labda km aliandika "Rais wa Tz JPM"
LAakini kwa JPM haimaainishi John Pombe Makufuli tu

Halafu kosa la jinai lazima mlalamikaji (Jamuhuri) ampeleke huyo JPM akatoe ushahidi
........
 
Neno moja kwa hawa jamaa,Ronaldo hatakagi Ujinga
boru.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom