Makapuku Forum

Wakuu ni utamaduni wetu kuwa kama kuna segment inaendelea basi stori zinazopigwa ziwe ni zile zinazohusu segment husika, ikiisha tunaendelea na stori zetu kama kawaida
Kwanza hatuna kitu kinachotumia muda mrefu.
Ni matumaini yangu kuwa mtaendeleza utamaduni huo ili kufanya KF izidi kuwa homa ya dengue
 
Alikuwa na mpango wa kuendelea kucheza kama timu yake ingefanikiwa kucheza ligi ya mabingwa ulaya
 
Itifaki izingatiwe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…