briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Tumeamka poa shem lake, MKWEPA KODI ye aliamkia kilabuniMmeamkaje family?


Tumeamka poa shem lake, MKWEPA KODI ye aliamkia kilabuniMmeamkaje family?


1954 - Juande Ramos anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Real Madrid, Sevilla na Tottenham.
Karibu ndugu, yule kinyonga kichwani vepe??Hodi humuuu......shikamoon makapuku wenzangu.....za siku mingii......natumaini mpo vizur
1968 - Will Smith anazaliwa.
Ni actor na mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
Haha mpaka zile zisizo na standard ya tbs? Yani hata tbs hawajui zina alcohol kiasi ganiVyote mkuu hahahahaha
NamkumbukaUnamkumbuka?
Poyee mamii.. Ndio maana nilikutafta sana hewan mpnz.. Maagizo yote nikamuachia shululu..Mazuri japokuwa jana nilishindwa kuleta old is ever Gold simu ilizima ghafla...chaji.
1974 - Olivier Dacourt anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Leeds United, Inter Milan na timu ya taifa ya Ufaransa.
Alijipatia Umaarufu wakati anacheza Leeds United na alikuwepo katika kikosi cha Leeds kilichofika nusu fainali ya Ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2001.
Bila shaka hii na maze runner vinahusiana
Hao kweli wazee wa mipango aisee, kina scofield itakua ndo waliiba idea ya hawa jamaa1983 - Maze Prison Escape. Wafungwa 38 wanatoroka katika gereza la Maze huko Ireland ambao wengi wao walikuwa ni wanajeshi.
Gereza la Maze lilisifika kuwa na Ulinzi mkali na moja kati magereza magumu barani ulaya lakini wanaume wakapanga mipango yao wakasepa.
Kutoroka huko kwa wafungwa 38 ni moja kati ya matukio makubwa ya wafungwa kutoroka kwa wingi katika magereza yenye ulinzi mkubwa.
........... Hakubaliki kwao.Kuna mzanzibar alishiriki vita hii kikamilifu, alikuwa ni ofisa wa JWTZ.
Alifukuzwa Tanzania kwa kashfa ya kuhusika kwake kwenye Mauaji ya Karume.
Samora Machel akamuomba apelekwe Msumbiji, Ambapo alipambana katika ushindi wa vita hivyo vya msituni, baadae alikuwa mshauri wa Rais wa Msumbiji katika masuala ya Ulinzi na hata baada ya kufa alizikwa hukohuko Msumbiji katika makaburi ya mashujaa wa nchi hiyo.
Huyo si mwingine bali Kanali Ali Mahfoudh kutoka JWTZ, mzanzibar ambaye hakuthaminiwa kwao ika akaenda kupata heshima zote nchini Msumbiji.
Isake mkuu ni move moja hatar sana..Mimi sijaicheki lakini nafikiri inaweza ikawa inaakisi tukio hili.
Aje joh!!Haha huenda ni kweli, ngoja nifuatilie![]()
Kacheza nani hii movie?Hivi ile movie ya maze runner inahusiana na hili tukio eeh!!!
Mawazo ya kusakwa na tra yanampeleka puta..Tumeamka poa shem lake, MKWEPA KODI ye aliamkia kilabuni![]()
Leeds hiyo haitakuja kutokea tena.. Daima na milele
Fresh, niaje bob.Aje joh!!
Aahh.. Wale madogo wala siwapati fresh.. Ngoja nizame maktaba uchwaraKacheza nani hii movie?
Mia arif! Tabora tena??Aje joh!!