Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Mfalme chui..1983 - Mfalme Leopold wa 3 wa Ubelgiji anafariki Dunia.
Zungu la unga1974 - Olivier Dacourt anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Leeds United, Inter Milan na timu ya taifa ya Ufaransa.
Alijipatia Umaarufu wakati anacheza Leeds United na alikuwepo katika kikosi cha Leeds kilichofika nusu fainali ya Ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2001.
Asante sana kwa leo katika historiaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Pogba tukutane tena kesho, Jumapili njema.
Nakuona uko na Tabora oneMfalme chui..
Call him vipaji vingi..1968 - Will Smith anazaliwa.
Ni actor na mwanamuziki kutoka nchini Marekani.
Teh teh teh...Nakuona uko na Tabora one
1983 - Maze Prison Escape. Wafungwa 38 wanatoroka katika gereza la Maze huko Ireland ambao wengi wao walikuwa ni wanajeshi.
Gereza la Maze lilisifika kuwa na Ulinzi mkali na moja kati magereza magumu barani ulaya lakini wanaume wakapanga mipango yao wakasepa.
Kutoroka huko kwa wafungwa 38 ni moja kati ya matukio makubwa ya wafungwa kutoroka kwa wingi katika magereza yenye ulinzi mkubwa.
Hivi ile movie ya maze runner inahusiana na hili tukio eeh!!!1983 - Maze Prison Escape. Wafungwa 38 wanatoroka katika gereza la Maze huko Ireland ambao wengi wao walikuwa ni wanajeshi.
Gereza la Maze lilisifika kuwa na Ulinzi mkali na moja kati magereza magumu barani ulaya lakini wanaume wakapanga mipango yao wakasepa.
Kutoroka huko kwa wafungwa 38 ni moja kati ya matukio makubwa ya wafungwa kutoroka kwa wingi katika magereza yenye ulinzi mkubwa.
Chimpumu...Ni komoni au Common???![]()
1932 - Aldofo Suarez anazaliwa.
Waziri Mkuu wa Kwanza wa Hispania.
Kuna mzanzibar alishiriki vita hii kikamilifu, alikuwa ni ofisa wa JWTZ.
Na arsenal je...Nachukua fursa hii kuwapongeza Man U jana kwa kumchapa mtu.
Unamkumbuka?Zungu la unga
Pamoja kiongozi.Asante sana kwa leo katika historia
Mkuu mussolin
yapCall him vipaji vingi..
Mimi sijaicheki lakini nafikiri inaweza ikawa inaakisi tukio hili.Hivi ile movie ya maze runner inahusiana na hili tukio eeh!!!