Makapuku Forum

Makapuku Forum

1964 - Vita vya Uhuru wa Msumbiji dhidi ya Wareno yaanza rasmi.
f2a7168aafd6a1f2df7f80c46da146c8.jpg
655d0c662a1c7f38640ab1ed631e5ac7.jpg
IMG_20160925_114934.jpeg
 
1983 - Maze Prison Escape. Wafungwa 38 wanatoroka katika gereza la Maze huko Ireland ambao wengi wao walikuwa ni wanajeshi.

Gereza la Maze lilisifika kuwa na Ulinzi mkali na moja kati magereza magumu barani ulaya lakini wanaume wakapanga mipango yao wakasepa.

Kutoroka huko kwa wafungwa 38 ni moja kati ya matukio makubwa ya wafungwa kutoroka kwa wingi katika magereza yenye ulinzi mkubwa.
IMG_20160925_120044.jpeg
IMG_20160925_120021.jpeg
IMG_20160925_120032.jpeg
 
1983 - Maze Prison Escape. Wafungwa 38 wanatoroka katika gereza la Maze huko Ireland ambao wengi wao walikuwa ni wanajeshi.

Gereza la Maze lilisifika kuwa na Ulinzi mkali na moja kati magereza magumu barani ulaya lakini wanaume wakapanga mipango yao wakasepa.

Kutoroka huko kwa wafungwa 38 ni moja kati ya matukio makubwa ya wafungwa kutoroka kwa wingi katika magereza yenye ulinzi mkubwa.
Hivi ile movie ya maze runner inahusiana na hili tukio eeh!!!
 
Kuna mzanzibar alishiriki vita hii kikamilifu, alikuwa ni ofisa wa JWTZ.

Alifukuzwa Tanzania kwa kashfa ya kuhusika kwake kwenye Mauaji ya Karume.

Samora Machel akamuomba apelekwe Msumbiji, Ambapo alipambana katika ushindi wa vita hivyo vya msituni, baadae alikuwa mshauri wa Rais wa Msumbiji katika masuala ya Ulinzi na hata baada ya kufa alizikwa hukohuko Msumbiji katika makaburi ya mashujaa wa nchi hiyo.

Huyo si mwingine bali Kanali Ali Mahfoudh kutoka JWTZ, mzanzibar ambaye hakuthaminiwa kwao ika akaenda kupata heshima zote nchini Msumbiji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom