Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Nimechungulia hayupo kabisa![]()
![]()
![]()
Hadi kwenye ile thread yao hayupo
Mzuri sana aiseehapana
![]()
Leo asipojitokeza hapa, nitamdiss huu msimu mzimaNimechungulia hayupo kabisa
Mimi nilijua mapema sana, akifungwa huwa anakimbia, sijui mwanamichezo ganiLeo asipojitokeza hapa, nitamdiss huu msimu mzima
Hana roho ngumu yuleMimi nilijua mapema sana, akifungwa huwa anakimbia, sijui mwanamichezo gani
Hana huyoHana roho ngumu yule
Hapa mbona sijaelewa? Inamana kuna matabaka au?Mkuu yule Vale & Tinner habusiki na hii thread
Yeye ni Vingongo Forum
Kuweni na msimamo msishobokee vingongo vinavyojiona mastaa
Thread yao na yetu ni km Simba na Yanga hatukai jukwaa moja isipokuwa tunakutana sehemu zingine tu
Mpotezeeni
.....................
Nimefurahi yule mchambuzi uchwara amekimbia maana ana mikelele kulizidi jeneretaHana roho ngumu yule
Tumeua kama kawa kama dawaLeo asipojitokeza hapa, nitamdiss huu msimu mzima
Jamaa angejua asingejitokeza kabisa mchanaTumeua kama kawa kama dawa
Una gundu, kapige mbizi kwenye beseni uliondoeNaona hayuko online
Hapa atakuja baada ya mweziJamaa angejua asingejitokeza kabisa mchana
![]()
![]()
![]()
.........
Safi sanaTumeua kama kawa kama dawa
Nawe pia![]()
Kwa udhamini wa virober
USIKU MWEMA
...........................
Nataka msimu huu pia waishie nafasi ya 10 kama msimu iliopitaJamaa angejua asingejitokeza kabisa mchana
![]()
![]()
![]()
.........

Gundu langu ni lipi hilo?Una gundu, kapige mbizi kwenye beseni uliondoe
teh teh hee