shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nafikiri mara ya mwisho 1990/1991, kama sikoseiEPL wanamiaka mingi hawajawahi kuigusa.
Nafikiri mara ya mwisho 1990/1991, kama sikoseiEPL wanamiaka mingi hawajawahi kuigusa.
1949 - Baleka Mbete anazaliwa.
Ni spika wa Bunge la Afrika ya Kusini.
1962 - Mike Phelan anazaliwa.
Ni kocha wa muda wa klabu ya Hull City ya ligi kuu England.
Aliwahi pia kuwa msaidi wa Alex Ferguson katika klabu ya Man Utd.
1989/90Nafikiri mara ya mwisho 1990/1991, kama sikosei
1990 /91 alikuwa Man United1989/90
1980 - John Arne Riise anazaliwa.
Beki wa zamani wa Liverpool, Fulham, Roma na timu ya taifa ya Norway.
Alijulikana zaidi wakati yupo Liverpool pia alisifika kwa mikwaju motomoto kutoka mguu wake wa kushoto.
Alikuwepo kikosini wakati Liverpool inashinda ubingwa wa ulaya mwaka 2005.
Leo ni siku ya katiba huko Cambodia
Mara 5Kumbukumbu yao kubwa ni ubingwa wa club bingwa ulaya
Tangu enzi zile kipa akirudishiwa mpira anatakaEPL wanamiaka mingi hawajawahi kuigusa.
Namjua vizuri sana prezdaaMkuu yule Vale & Tinner habusiki na hii thread
Yeye ni Vingongo Forum
Kuweni na msimamo msishobokee vingongo vinavyojiona mastaa
Thread yao na yetu ni km Simba na Yanga hatukai jukwaa moja isipokuwa tunakutana sehemu zingine tu
Mpotezeeni
.....................
Sitaki uchokozi BitozMara 5
Man Utd 3
Chelsea 1
ArsayNO![]()
.............
.
Haaaahaaaa, haya buanaMara 5
Man Utd 3
Chelsea 1
ArsayNO![]()
.............
.
Ndo ivoNamjua vizuri sana prezdaa
Nakutana nae sana kwenye majadiliano yetu hapa jf najua hausiki na makapuku forum
Nimempa hai tu valentina
Ni Orijino statisticsSitaki uchokozi Bitoz
Poa tu. Tunaangalia perfomance UEFA kitu ganiNi Orijino statistics
ArsayNO hajawahi kubeba ndoo UEFA
........

Ni Orijino statistics
ArsayNO hajawahi kubeba ndoo UEFA
........
Na hiyo avatar sasaNi Orijino statistics
ArsayNO hajawahi kubeba ndoo UEFA
........