Makapuku Forum

1980 - John Arne Riise anazaliwa.

Beki wa zamani wa Liverpool, Fulham, Roma na timu ya taifa ya Norway.

Alijulikana zaidi wakati yupo Liverpool pia alisifika kwa mikwaju motomoto kutoka mguu wake wa kushoto.

Alikuwepo kikosini wakati Liverpool inashinda ubingwa wa ulaya mwaka 2005.
 
Kumbukumbu yao kubwa ni ubingwa wa club bingwa ulaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…