Sisi tupo juu
Hatuhitaji kingongo chochote ili thread iendelee kutamba
Kila siku wapya wanaibuka na kuja na swaga mpya mfano nani alikuwa anamjua sajo? Hakuna
Lakini KF imemtoa si unajua inasomwa na watu wengi(wamesubsribe)....lazima wanajua mikwara ya huyo mjeda MP
................
Aisee kumbe ni binti mrembo hivi mweeeNasikia karudi school kumaliza darasa la sabaView attachment 405941
HaswaaUkiona hivyo kaguswa mahari pake
Hahahahaha sasa mnaheshimiana hahahahaha baada ya kujuana kuwa nyie ni makapuku hahahahahasacajo kabla hajatimba hapa, niliwahi kubishana naye sana kwenye thread yangu moja hv uchwara
Nadiriki kusema kuwa Kf imenifanya niweze kujiamini.
Maana mwanzo kabla ya kf kuzinduliwa nilikuwa napigwa Ban daily kwa 7bu ya kushindwa kustahimili matusi ya wakongwe.
Ila now nmejiepusha nao
How are you sweetie!
Comment allez-vous?Bonjour Cherry
Kwakweli...kumbe unakuwaga serious eeh?Maana hapa ndio sehemu pekee ambayo tunapendana na kuchekeana & kutaniana 24/7
Tukiiharibu tutaanza kununa kila tukiona ID za wakongwe na dharau zao hapa ndani (KF)
Bora tuwafungie vioo mapema .................
Lakini KF imewaunganishasacajo kabla hajatimba hapa, niliwahi kubishana naye sana kwenye thread yangu moja hv uchwara
NDIO UMEONA EEH?!! SIMU INA 70% SIJUI ITAHIMILITanesco wameishafanya yao
Jana na wewe uliadimika nikahisi uko busy na kaziMorning 2 nsekwa
Serious inapobidi tuKwakweli...kumbe unakuwaga serious eeh?
Shemasi sacajoSisi tupo juu
Hatuhitaji kingongo chochote ili thread iendelee kutamba
Kila siku wapya wanaibuka na kuja na swaga mpya mfano nani alikuwa anamjua sajo? Hakuna
Lakini KF imemtoa si unajua inasomwa na watu wengi(wamesubsribe)....lazima wanajua mikwara ya huyo mjeda MP
................
HakikaLakini KF imewaunganisha
Halafu siku hizi huhitaji ht kutoa thread ili ufahamike
Ni kufanya mambo tu kupitia KF(Thread inayofuatiliwa zaidi)
.....................
Simu yangu iko vizuri, mpaka saa 17 GMTNDIO UMEONA EEH?!! SIMU INA 70% SIJUI ITAHIMILI
Morning NsekwaGood morning shululu
Huyo Sokomoko mnywa gongo na virober siyo bia & whiskyDaah
Morning mzee wa Kitwanga