Makapuku Forum

[emoji23] sacajo kabla hajatimba hapa, niliwahi kubishana naye sana kwenye thread yangu moja hv uchwara
 
Nadiriki kusema kuwa Kf imenifanya niweze kujiamini.
Maana mwanzo kabla ya kf kuzinduliwa nilikuwa napigwa Ban daily kwa 7bu ya kushindwa kustahimili matusi ya wakongwe.
Ila now nmejiepusha nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] sacajo kabla hajatimba hapa, niliwahi kubishana naye sana kwenye thread yangu moja hv uchwara
Lakini KF imewaunganisha
Halafu siku hizi huhitaji ht kutoa thread ili ufahamike
Ni kufanya mambo tu kupitia KF(Thread inayofuatiliwa zaidi)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....................
 
Shemasi sacajo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…