Makapuku Forum

Ila pamoja na kuwa siipendi Yanga, Ila Yanga ya Mwaka 1993 pale Kampala, Uganda katika Michuano ya Vilabu vya Afrika Mashariki na Kati ( CECAFA ) ilitikisa na ikawa gumzo.

Ilikuwa na Kenneth Mkapa, Said Nassoro Mwamba " Kizota ", Silvanus Ibrahim " Polisi " , Edibily Jonas Lunyamila ambaye aliliteka Jiji la Kampala na Vitongoji vyake.
 
Wengine hatukuwa wakubwa kivile japo akina Lunyamila walitawala maskioni mwetu...shikamoo Mussolin5
 
Hiyo ilikuwa kali sana Naya mwaka 1988 ya kina marehemu selestini sikinde mbunga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…