NUKUU NO 4#
Vijana msisahau kuwa Lenin anasema "unahitaji uchambuzi thabiti wa mazingira halisi (you need a concrete analysis of concrete conditions)" hivyo basi kama Maks (Max) angezaliwa sumbawanga angeandika azimio la Arusha badala ya Das Kapital
Maneno haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere katika ukumbi wa Nkurumah wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM), miaka ya mwanzo baada ya kutangaza Azimio la Arusha
Nakumbuka Jamaa moja huko Marekani alibambikiwa kesi, alifungwa maisha akiwa kijana, kaja kutolewa akiwa mzee kabisa, na watu waliomsaidia kutoka ni wa haki za binadamu walikata rufaa na walipeleka ushahidi wa kesi yoteYeah wengi ambao wako jera ukikaa nao vizur ukamuhoji mmoja mmoja fresh na ukimsoma saikolojia utajua tu amefungwa kimakosa...nadhani hii kitu ipo karibu Magereza yote Duniani sio wote wanaofungwa wana hatia wengine wamesingiziwa wakakosa tu mawakili wazuri wa kuwatetea unaweza ukawa innocent ila huna power ya ku prove innocence.
Samtaimu pesa sio loloteNakumbuka Jamaa moja huko Marekani alibambikiwa kesi, alifungwa maisha akiwa kijana, kaja kutolewa akiwa mzee kabisa, na watu waliomsaidia kutoka ni wa haki za binadamu walikata rufaa na walipeleka ushahidi wa kesi yote
Na sasa serikali ya Marekani inatakiwa kumlipa fidia ya dola milioni mia mbili
Naona wamemtoa kafara mwenzao kimchezo mchezo hivi hivi....na najua tu safari hii saini itapigwa tu jamaa atanyongwa kweli, japokuwa wa nyuma walikuwa wanapuuzia hukumu za kunyongwa.
Na wamlipe tu maana ndio sheria inavyosema...yani unakuta upande wa mlalamikaji unakuwa na power na unataka Justice....wao wanakuwa hawafahamu kama wewe ndiye mtenda kosa ama vipi ni mihemko ya hasira...sababu inakuwa tu labda ulistep up katika mazingira ya tukio au ulikuwa ni mtu wa karibu sana na marehemu, yani kesi zinaumiza kichwa sana....haswa "Murder Cases".Nakumbuka Jamaa moja huko Marekani alibambikiwa kesi, alifungwa maisha akiwa kijana, kaja kutolewa akiwa mzee kabisa, na watu waliomsaidia kutoka ni wa haki za binadamu walikata rufaa na walipeleka ushahidi wa kesi yote
Na sasa serikali ya Marekani inatakiwa kumlipa fidia ya dola milioni mia mbili
Inasikitisha sana
Asante JiraniMpaka Sina la ziada, kwa ya mukongo na 107k chaos
Bora kupigwa risasi tuInasikitisha sana
Now KF inaingia kwenye rekodi ya thread zenye MILLION VIEWSAsante Jirani
Pamoja jiraniAsante Jirani
Ni kweliSamtaimu pesa sio lolote
Washampotezea muda.
.........
K/F ifike mbali...we need to do more than this!!Now KF inaingia kwenye rekodi ya thread zenye MILLION VIEWS
JF nzima hazifiki hata thread 5
Halafu KF ndo imetumia muda mdogo zaidi
......................
Ni kweli aisee risasi ni fasta tu unadediBora kupigwa risasi tu
Kitanzi unskufa mawazo + mateso
........
Kitanzi unamuona kabisa Izraeli mtoa roho anakuja liveBora kupigwa risasi tu
Kitanzi unskufa mawazo + mateso
........
1m replyK/F ifike mbali...we need to do more than this!!
1m reply
10m views ndani ya 3 yrs
...............
unampa pombe analewa af unasepa zakoKitanzi unamuona kabisa Izraeli mtoa roho anakuja live