Makapuku Forum


Respect
.......
 

Kingongo
.....
 
Castro jembe langu!
 
NUKUU NO 3#


Ilikuwa ni diamond jubilee ambako aghakan alibadili jina langu kutoka Nurdin (maana yake mwanga wa dini) kuwa Al Noor (maana yake mwanga) tukiwa hapo aliendelea kuniita Noor, ndipo watu waliokuwepo wakamuuliza Noor ni nani? Akajibu ni Nurdin, lakini kuanzia Leo ataitwa Al Noor
Na kuanzia hapo nikajukana kama Al Noor na kuachana na jina langu la asili la Nurdin


Maneno hayo ni ya waziri na mwanasiasa wa zamani nchini, Al Noor Kassum, na yamo katika kitabu chake alichokiandika kinachoitwa Africa's Winds of change: Memoirs of International Tanzania
Alizaliwa January 11,1924 alisomea sheria Uingereza,
Mbali ya uwaziri, aliwahi pia kufanya kazi makao makuu ya UNESCO na UN.
 

Sijui
.....
 
NUKUU NO 4#

Kama Chama chetu ni Chama cha watu, basi hakuna shida yoyote ya watu ambayo twaweza kusema kuwa haituhusu.
TANU ndilo kundi moja katika nchi hii ambalo halina budi lijishughulishe na shida za kila mtu
TANU ni ya dini zote na makabila yote na koo zote.
Ni TANU peke yake, basi,ambayo inawajibu mkubwa wa kushughulika na shida za watu wa aina yote ;

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, yamo kwenye kitabu chake alichokiandika mwaka 1962 kinachoitwa TANU NA RAIA.
Mwalimu alig'atuka urais wa Tanzania 1985
 

Genius
...........
 
Poa
 
Poaaaa!!!


Umekuwa mchizi mox nini!!?
 
Nmemuelewa sana hapo..
 
Uwe karibu na TV
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…