Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli kabisa, maana tutaonekana sisi sio wazalendo
Issue sio uzalendo
Picha za kutishana hapana aisee
Mi mwenyewe Musso kwenye historia namwekea picha ambao hazitaathiri watu
Mfano nimeweka ya Steve Niko akiwa ndani ya jeneza lakini ni kwa mbali.....vilevile sijaonesha akiwa kauawa
Niliweka kwavile ishu ilizungumziwa
...........
..............
 
We aliyekwambia ukiwa na mtoto wa kike ni lazima usugue nani.. Naona umekazania "piga puli" piga puli.. Kwahyo we unaona hii sikukuu namuhitaji kwa ajili Ya kitendo, sio lazma kila ukiwa na mwali umsugue.. Kuna having good times, story, matani ya hapa na pale, kucheza cheza, vijichallenge vya hapa na pale, kupika na kula pamoja, kama mkiamua kutoka mnatoka pamoja au mnaganda home mnacheza hata games (ps4). Ikitokea hali ya kupiga game, mnapiga show tu tena nzito.
Hahahaaa...... Nimejitahidi kukuelewa sana. Shukrani tho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom