Maana kuna jamaa mmoja juzi alikuwa mgeni na katka utambulisho akaweka na picha yanke.. lakini cha ajabu alitukanwa sana huku akiitwa mshamba.
Ila leo kuna mwanamke mgeni kaambatanisha na picha yake ili kasifiwa balaaaa.
Ndo mana na mm nkasema ngoja nipime upepo