Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maana kuna jamaa mmoja juzi alikuwa mgeni na katka utambulisho akaweka na picha yanke.. lakini cha ajabu alitukanwa sana huku akiitwa mshamba.
Ila leo kuna mwanamke mgeni kaambatanisha na picha yake ili kasifiwa balaaaa.

Ndo mana na mm nkasema ngoja nipime upepo
Niliona
Wakamuita mwanaume wa dar mara shoga
Tatizo wivu unawasumbua maana wao sura zao mbaya km matako halafu wana machogo na ngeu

........
 
Maana kuna jamaa mmoja juzi alikuwa mgeni na katka utambulisho akaweka na picha yanke.. lakini cha ajabu alitukanwa sana huku akiitwa mshamba.
Ila leo kuna mwanamke mgeni kaambatanisha na picha yake ili kasifiwa balaaaa.

Ndo mana na mm nkasema ngoja nipime upepo
Sasa ule wako umepata replies sababu ya ile pua
 
Sasa hizo ni nini?
Ni dollar
1473681851333.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom