Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Karibu sana kakaPoa, nitakutafuta mkuu
Cc manuu
Karibu sana kakaPoa, nitakutafuta mkuu
AksanteShukrani sana bepari
Sawa Kapuku mwandamiziAsante mussolin, nawe pia sikukuu njema
Ahsante piaAsante kwa historia mwenye kiti
Mkuu heri ya eidAksante
Asante sanaKaribu sana kaka
Cc manuu
Anaandama nin mkuuSawa Kapuku mwandamizi
Sikukuu wapi leo!!?Asante Shem wangu wa ukweli
Namshukuru mungu, nipo poa.Niko poa kabisa, vp wewe
Hahaa.. Sasa yule si wa kule kwetu kwa kukaza maneno...Akijaribu kuongea lugha ya malkia utafikiri vyuma vinasagana
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na anakaza maneno kweli utafikiri anafunga rumbesaHahaa.. Sasa yule si wa kule kwetu kwa kukaza maneno...
Nimeipenda hiyo ya kapuku mwandamiziSawa Kapuku mwandamizi
Hahaa... Ukijumlisha na lugha yenyewe gongana, basi tabu tupu..Na anakaza maneno kweli utafikiri anafunga rumbesa

Hahaa... Ukijumlisha na lugha yenyewe gongana, basi tabu tupu..
Kuna makabila mengine hayafai hata kuongea lugha za watu ni uharibifu..
![]()
![]()
![]()

Dah.. Mie sikukuu mbovu kweli bila pacha wako, ndio sikukuu ya kwanza toka niwe na mdogo wako nakula pekee yangu..Niko na briz ila bado hatujapanga pa kwenda

Usicheke kwa nguvu, wakikuskia shaur yako.
Dah.. Mie sikukuu mbovu kweli bila pacha wako, ndio sikukuu ya kwanza toka niwe na mdogo wako nakula pekee yangu..![]()
![]()
Mpe hi ndugu yangu, ila mjuze kuwa namtafuta kwa phone hapatikani..