makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,253
Twasubiri kwa hamuOld is ever Gold itawajia hivi punde...
Twasubiri kwa hamuOld is ever Gold itawajia hivi punde...
Utachangisha maisha yako yoteAsante kwa kutusafisha macho mkuu pako vizuri sana asee naanza kufikiria nichangishe kibubu siku moja na mi nije nitoe ushamba kidogo huko![]()
![]()
Hahaaa... Kweli mkuu. 1/10000=0.0001Ndio wapo ila kwa umri wa yule binti ni 1 kwa 10,000... sasa kwa hesabu za ratio ni sawa na hakuna
Lakini it is possibleKuilipua White house sio jambo rahisi
Utachangisha maisha yako yote
![]()
![]()
![]()
........


kibubu cha zamani kinanitosha pekeyangu tu sasa nataka nichange cha pili kwa ajili ya kampani ya mpenzi... Unataka kuniambia nikiuza yale maembe yangu kule mpigi magoe mwakani haitatosha? 


Wote mabichwa majiHii inawahusu mamiss tz kuanzia yule wa 2006 nadhani na baadhi yao kuja mbele![]()
Asante sana mkuu mussolin kwa leo katika historiaLeo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Taasisi ya Mussolin5 sina la ziada, niwatakie Jumapili njema.
Byee!!
Hiyo ngoma ilitengenezwaView attachment 398015View attachment 398016View attachment 398017View attachment 398019
Sad...japo siwapendi Wamarekani
........
The Jackson 5 - I Want you Back (1969):
Cc: Makaveli![]()
Asante sanaJengo hilo refu linaitwa SHANGAI TOWER lina urefu wa 632m na ni la pili kwa urefu duniani baada ya lile la Dubai. Jengo la jirani yake ni la saba kwa urefu duniani.
Nimepiga picha nikiwa juu ya mnara wa TV na Radio uitwao *Oriental pearl Radio &TV Tower* wenye urefu wa 350m ambao uko kama mita 300 kutoka kwenye jingo hilo. Mnara huo kwenye urefu wa 285m pamejengwa na material transparent kama kioo yanayoonyesha chini palivyo. Jamaa wanakusanya mapato ya utalii kwa wingi sana kwenye mnara huu. Siwezi kutuma picha zote, leo natuma hizi tu za eneo moja tu.
Nawatakia Jumapili njema
Ila abeid anadai anamzimikia mdogo mtu kuliko kaka mtu..
Kivipi mkuu?Hiyo ngoma ilitengenezwa
Nasubiri hapa hapa kapukuOld is ever Gold itawajia hivi punde...
Andre ndo anajuaIla abeid anadai anamzimikia mdogo mtu kuliko kaka mtu..
Heheee... Ahsante cwr π...Mlikuwa nami Sweetie pie kwa udhamini mkubwa wa malaya Kelly, Tukutane wiki ijayo tena. Asanten na j.pili njema!![]()

Nakukubali kichiz.. Kuhusu upande wa pili.Hahahaa hapo sawa![]()
Hadi utoweka duniani hufiki huko kwa Mzee wa mapicha picha ya Asiakibubu cha zamani kinanitosha pekeyangu tu sasa nataka nichange cha pili kwa ajili ya kampani ya mpenzi... Unataka kuniambia nikiuza yale maembe yangu kule mpigi magoe mwakani haitatosha?
![]()