Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Kweli mkuu. Tunawaita mashujaa wasioimbwa.Ni kweli Figo alimfunika sana
Kweli mkuu. Tunawaita mashujaa wasioimbwa.Ni kweli Figo alimfunika sana
Huyu muha nayeWw kila siku unajipendekeza
Hakuna ndugu yako humu
Au unafikiri tutakukopesha hela?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..........

Mzee mwenzangu kasoro udikteta, u hali gani wew!Ndio nakujuza sana
OhoooooHalaf we bwege wewe, unanidharau, mie nna bwege kama wewe wanachezea sharubu tu nyumbni..
Vankulu madona wee
Mtoto wa bahati mbaya wee
![]()
![]()
![]()
Fundi modric.. Ananikumbusha
Pavel nedved na mendieta
Nyungo ni nini??Kwani bado HAJAVUNJA NYUNGO?!??
R I PI don't know if my Ex is still alive!!!
She used to tell me that she can't live without me![]()
Sasa miaka imepita, Any way kama kweli alidanja R.I.P.![]()
Weka pichaNdio maana na muweza mimi tu, masharobaro wa kina Quigley chali.. Hawamuwwzi.. Tunawezana wenyewe na segere letu, tukilianzisha tumelianzisha hamna poo..
Body nimeielewa vizuri
Ni kiambishi wingi cha ungo,Nyungo ni nini??
Niko poa mkuuMzee mwenzangu kasoro udikteta, u hali gani wew!
Nimemmiss sana Luis Figo
Bado lile bifu halijaisha??Niko poa mkuu
Nick nameNdio jina lake![]()
![]()
Mdogo wake alikuwa ni mwanariadha, alijulikana kama Luis Bandama.Nimemmiss sana Luis Figo
Yeye ni profesa wa uchumi. Hapa yupo kwenye siasa. Uprofesa wake unahusikaje? Naona kama vile tunachanganya mambo. Angekuwa anaboronga kwenye mambo ya uchumi hapo ndiyo tungeulaumu uprofesa wake. Siasa hazina nidhamu, heshima wala hadhi kiasi cha kuwa tunarejelea usomi wa mtu - hasa hizi siasa uchwara za Bongo zinazobadilika badilika kila kuchao. Kwa hili tunaongozwa na mihemko yetu ya kiitikadi na kumhukumu huyu Prof bila sababu ya msingi.Uprofesa wa kuulazimisha huu.. Mwishowe wanakuwa machizi